Thursday, 21 August 2014

MATOKEO YA MCHEZO KATI YA SUPER SKILLS FC NA ANU STAR

Thursday, 21 August 2014 - by Super Skills Fc 0

Club ya  Super skills football ya vijana walio na umri chini ya miaka 14, ambayo Inapatikana Kimara Baruti Mtaa wa Kwa mtabili. Ilitolewa katika michuano ya CHAMPION CUP Katika mchezo wa fainali uliyozikutanisha kati yao na mahasimu wao wakubwa ANU STAR Baada ya kuchapwa bao 1-0. Mashindano hayo yaliandaliwa na UONGOZI wa CHAMPION FC.Mashindano hayo yalikuwa maalum kwa wachezaji walio na  umri chini ya miaka 14.


About the Author

Write admin description here..

0 comments:

© 2013 SUPER SKILLS FC. WP Theme-junkie converted by Bloggertheme9