Mchezaji nyota christian Ronaldo ameifungia mabao yote mawili timu yake ya Real madrid dhidi ya FC Seville katika mchezo wa UEFA super cup Uliopigwa nyumbani Kwa Gareth Bale Mjini Kardiff kwenye dimba la Millenium.Nyota huyo aliyekuwa mchezaji wa zamani wa manchesta united ameifungia tim u yake hiyo mbele ya mashabiki 33,500 na kuipa ubingwa timu hiyo ya Real Madrid kwa mara nyingine tangu mwaka 2002, Mchezo pia ulihudhuriwa na kocha wa zamani wa Machesta United Sir. Alex Ferguson.katika mchezo huo pia Real Madrid iliwatumia wachezaji wake wapya waliyowasajili ambao ni mjerumani Toni kroos Pamoja na mshambuliaji raia wa argentina James Rodriguez.
Tuesday, 12 August 2014
You Are Here → Home
→ Spain
→ CRISTIAN RONALDO AIONGOZA MADRID KUICHAPA SEVILLE BAO 2-0 NA KUTWAA UBINGWA WA SUPER CUP
CRISTIAN RONALDO AIONGOZA MADRID KUICHAPA SEVILLE BAO 2-0 NA KUTWAA UBINGWA WA SUPER CUP
Tuesday, 12 August 2014 - by Super Skills Fc
0
Tags: Spain
About the Author
Write admin description here..
Contact Form
Popular Posts
-
Ramadhani Salum Mohamed UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga umeizidi kete klabu ya Simba SC baada ya kumsajili kiungo kati wa timu ...
-
Kikosi cha Simba kilichoshuka dimbani dhidi ya ZESCO siku ya Simba Day, kulia ni kocha aliyetimuliwa kazi Logarusic Zdravko na kushoto ni ...
-
MENEJA wa klabu ya Everton, Roberto Martinez amesema dili la kumsajili winga wa kimataifa wa Ghana Christian Atsu kutoka Chelsea limekamil...
-
Timu ya Algeria, Entente Setif, imefuzu kwa michuano ya nusu fainali kombe la klabu bingwa Afrika baada ya kwenda sare ya mabao mawili dhi...
-
Arsenal wakiwa na Ngao ya Jamii baada ya kuipiga Manchester City 3-0. Santi Carzola akishangilia bao lake la kwanza kwa Arsenal. ...
-
Mchezaji nyota christian Ronaldo ameifungia mabao yote mawili timu yake ya Real madrid dhidi ya FC Seville katika mchezo wa UEFA super cu...
-
Rihanna anajipanga kuonyesha mapenzi yake mapya katika mchezo wa mpira ambapo sasa ana elekea kuzindua mpango mpya kuinunua klabu ya Liverp...
-
BARCELONA IMEONYESHA KUVUTIWA NA KAZI YA KOCHA ARSENE WENGER WA ARSENAL.ANGALIA NAMNA AMBAVYO IMEKUWA IKIBEBA WACHEZAJI WA CHAGUO LAKE.
Archives
Video Widget
- TwitterFollow us
- FacebookBecome our fan
- Google+Join our circle
- RSSSubscribe now
- NewsletterGet latest updates

0 comments: