Tuesday, 12 August 2014

HATIMAYE MASHABIKI WA LIVERPOOL HAWAMTAKI SAMUEL ETOO.

Tuesday, 12 August 2014 - by Super Skills Fc 0



Mshabiki wa Liverpool hawafurahishwi na taarifa za kusajiliwa kwa Samuel Eto’o Anfield

Mashabiki wa LIverpool wameanza kuonyesha hasira zao kupitia mitandao ya kijamii baada ya taarifa za kwamba huenda mshambuliaji Samuel Eto’o akasajili wa na klabu yao.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Chelsea ameripotiwa kuwa katika mazungumzo na wekundu hao wakati huu ambapo meneja Brendan Rodgers anatafuta mshambuliaji kwa ajili ya msimu mpya ambaye atachukua nafasi ya Luis Suarez aliyeuzwa kwa Barcelona.

Tags:
About the Author

Write admin description here..

0 comments:

© 2013 SUPER SKILLS FC. WP Theme-junkie converted by Bloggertheme9