Kocha Marcio Maximo aliechukua mikoba ya kuifundisha timu ya Yanga, ataanza na kibarua cha michuano ya Kagame, ambayo itafanyika huko Rwanda kuanzia Tarehe 8 mwezi wa Nane.
Yanga ipo kundi A, na itaanza na Rayon. Katika kundi hilo ipo pia KMKM kutoka Zanzibar na Atlabara FC kutoka Sudani
Washiriki pekee kutoka Tanzania ni KMKM na Yanga SC
About the Author
0 comments: