Loga anatuhumiwa kuzozana na wachezaji mara baada ya mechi akiwatuhumu kuonyesha kiwango duni.
Uongozi wa Simba umechukua uamuzi huo baada ya kikao cha takribani masaa matano.
Tayari Simba imeanza kufanya maarifa ya kumpata kocha mpya. Hizo ndiyo Simba na Yanga kila kukikucha majanga matupu.
BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA
imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini
ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa
mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya
wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa
mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu
themanini.
BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA
imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini
ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa
mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya
wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa
mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu
themanini.
BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA
imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini
ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa
mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya
wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa
mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu
themanini.
BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA
imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini
ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa
mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya
wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa
mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu
themanini.
About the Author
0 comments: