Monday, 11 August 2014

ZDRAVKO LOGARUSIC ATIMULIWA SIMBA

Monday, 11 August 2014 - by Super Skills Fc 0







Simba imemtimua kocha wake, Zdravko Logarusic ikiwa ni siku moja tu baada ya kufungwa mabao 3-0 na Zesco ya Zambia.
Loga anatuhumiwa kuzozana na wachezaji mara baada ya mechi akiwatuhumu kuonyesha kiwango duni.
Uongozi wa Simba umechukua uamuzi huo baada ya kikao cha takribani masaa matano.
Tayari Simba imeanza kufanya maarifa ya kumpata kocha mpya. Hizo ndiyo Simba na Yanga kila kukikucha majanga matupu.

BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa

1407488602333_wps_1_FILE_PHOTO_Arsene_Wenger_
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku  Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen  na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu themanini.
New surroundings? Barcelona look set to sign Vermaelen on a four-year deal worth £80,000 a week
Preference: Thomas Vermaelen is set to disappoint Barcelona and current club Arsenal by joining Man United
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=4837#sthash.3g48MmJC.dpuf

BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa

1407488602333_wps_1_FILE_PHOTO_Arsene_Wenger_
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku  Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen  na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu themanini.
New surroundings? Barcelona look set to sign Vermaelen on a four-year deal worth £80,000 a week
Preference: Thomas Vermaelen is set to disappoint Barcelona and current club Arsenal by joining Man United
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=4837#sthash.3g48MmJC.dpuf

BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa

1407488602333_wps_1_FILE_PHOTO_Arsene_Wenger_
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku  Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen  na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu themanini.
New surroundings? Barcelona look set to sign Vermaelen on a four-year deal worth £80,000 a week
Preference: Thomas Vermaelen is set to disappoint Barcelona and current club Arsenal by joining Man United
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=4837#sthash.3g48MmJC.dpuf

BARCELONA YAIPIKU MANCHESTER UNITED USAJILI WA THOMAS VERMAELEN Kimataifa, Usajili Kimataifa

1407488602333_wps_1_FILE_PHOTO_Arsene_Wenger_
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku  Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen.
BARCELONA imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili.
Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala wa Vermaelen  na wakatalunya hao kabla ya kukamilika kwa dili hilo.
Jana jumatano, Barcelona walimtuma Raul Sanllehi kufanya makubaliano mjini London na wamefikia sehemu nzuri.
Wakatalunya wametoa ofa ya miaka mitano, huku kukiwepo kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja zaidi na mshahara wa beki huyo utakuwa paundi elfu themanini.
New surroundings? Barcelona look set to sign Vermaelen on a four-year deal worth £80,000 a week
Preference: Thomas Vermaelen is set to disappoint Barcelona and current club Arsenal by joining Man United
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=4837#sthash.3g48MmJC.dpuf

About the Author

Write admin description here..

0 comments:

© 2013 SUPER SKILLS FC. WP Theme-junkie converted by Bloggertheme9